Millionaire  Ads

Simba 0 - 1 Azam


Simba ikicheza kwa tahadhari imekubali kipigo cha goli moja kwa sifuri kutoka kwa Azam fc katika mchezo mkali wa kuvutia kwa pande zote mbili.

Mpaka mapumziko timu hizo zilitoka sare ya 0 – 0. Kipindi cha pili mnano dakika ya sabini mtaalamu wa kuzifunga simba na yanga John Bocco alifanya kama alivyozoea baada ya kuipa uongoz timu yake.


Hadi mpira unamalizika Simba 0 – 1 Azam.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Simba 0 - 1 Azam"

Back To Top