Leicester City na Sevilla leo saa
22:45 ni vita isiyotabirika kiurahisi hasa ukiingalia Sevila inafaida ya goli
moja katika ushindi wa 2 - 1 nyumbani kwake.
leo tunategemea kuona Leicester City
wakianza kwa kushambulia ili kupata goli na kujitengenezea mazi ngira mazuri ya
kuweka rekodi nyingine kubwa kwa kilabu hiyo baada ya ile ya kutwaa EPL.
leo tutegemee kuona mpira wa ufundi
mwingi kutoka kwa Mahrez kwa upande wa Leicester City na Samir Nasr kwa upande
wa Sevila.
mchezo wa kwanza uliofanyika Ureno
Porto walikubali kipigo cha goli 2 - 0 dhidi ya Juventus tarehe 22/2/2017
Je Porto atapindua matokeo na
kuishangaza dunia tusubiri saa 22:45 usiku.
0 Comment untuk "Leicester City vs Sevilla, Mahrez na Samir Nasr nani fundi wa kuchezea mpira"