Millionaire  Ads

Safari ya Simba kuishtaki TFF FIFA imeiva ni baada ya jana kupewa barua yao rasmi ya kupokwa pointi 3 na bodi ys ligi.


Bodi ya ligi nchini ‘TANZANIA PREMIER LEAGUE BOARDS(TPLB)’ jana imeshindilia kaa la moto katika maamuzi yake ya kipoka timu ya Kagera Sugar pointi 3 na magoli 3 kwa kosa la kumchezesha mchezaji Mohamed Fakhi kwa kusema Fakhi wakati anaichezea Kagera Sugar hakuwa na kadi tatu za njano.
Vionjo vilivyo kwenye Barua hiyo ni kama ifuatavyo ”TFF ndio yenye dhamana ya usimamizi wa mpira nchini na ambayo ndio iliyokasimu madaraka kwa TPLB kuendesha ligi kuu” barua iliiendelea kwa sema “baada ya uchunguzi wao ambao ulihoji watu mbalimbali wamebaini kuwa mchezaji Mohamed Fakhi alielalamikiwa na Simba hakuwa na kadi 3 za njano siku ya mchezo wa Kagera sugar na Simba, kwa mantiki hiyo maamuzi yaliyofanywa na kamati ya kuipoka pointi Kagera hayakuwa sahihi na hivyo Matokeo ya uwanjani ambayo yalikuwa ni ushindi wa 2 – 1 kwa Kagera sugar yabaki kama yalivyo.”
Barua hiyo pia imeiruhusu simba kukata rufaa huku ikifuata taratibu za mchezo wa soka.
Kwa mantiki hiyo simba imepewa rungu la kuingilia FIFA.




Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comment untuk " Safari ya Simba kuishtaki TFF FIFA imeiva ni baada ya jana kupewa barua yao rasmi ya kupokwa pointi 3 na bodi ys ligi."

Back To Top