Millionaire  Ads

Azam balaa, wamnasa kipa wa Mbao atua Azam miaka miwili


Timu ya Azam imempata kipa namba moja wa timu ya mbao Fc Benedict Haule kama mbadala wa Aishi Manula aliyesajiliwa simba msimu huu kwa miaka miwili.
Hili limefanyika mara moja baada ya juzi simba kumnyakua kipa namba moja wa timu hiyo kwa ajili ya kusuka kikosi chao kwa msimu mpya wa ligi na michuano ya kimataifa msimu ujao.
Haule ambae alikuwa kivutio katika michuano ya FA na mechi za mwisho za ligi kuu hasa timu inapokutana na timu kama simba, yanga au azam, amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu ya Azam.


Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Azam balaa, wamnasa kipa wa Mbao atua Azam miaka miwili"

Back To Top