Millionaire  Ads

Juventus vs Real Madrid, Maneno ya mwisho ya Zidane kwa wachezaji wake Kuelekea mchezo wa fainali “Hakuna cha kupoteza zaidi ya kutwaa kombe”


Zinedine Zidane  amewambia wachezaji wake kuwa anachohitaji yeye ni kombe tu na sivingevyo, ameyasema hayo wakati wa mazoezi ya mwisho jana tayari kwa mchuano huo wa fainali dhidi ya juve.kwa mujibu wa jarida la Marca

Tambo zimekuwa nyingi sana huku juve wakidai wao wanaukuta madhubuti na Madrid wakithibitisha hivyo, kwa upande wa Madrid wao wanasifika kwa ufungaji, viungo wenye ujuzi binafsi kama Isco, Modrick, Toni kroos.
Juve ukuta wao unaongozwa na Daniel Alves, Leonardo Bonucci, Giorgio Chiellini, Alex Sandro.
Vikosi vinategemewa kuwa hivi:
Juventus: Gianluigi Buffon, Daniel Alves, Leonardo Bonucci, Giorgio Chiellini, Alex Sandro, Sami Khedira, Miralem Pjanic, Juan Cuadrado, Paulo Dybala, Mario Mandzukic, Gonzalo Higuain;
Kocha: Massimiliano Allegri
Mfumo: 4-2-3-1
Real Madrid:
Keylor Navas, Daniel Carvajal, Marcelo, Sergio Ramos, Raphael Varane, Toni Kroos, Casemiro, Luka Modric, Isco, Cristiano Ronaldo, Karim Benzema
Kocha: Zinedine Zidane
Mfumo: 4-3-1-2
Uwanja: Millennium Stadium
Referee: Felix Brych (Germany).
Muda: 21:45


Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Juventus vs Real Madrid, Maneno ya mwisho ya Zidane kwa wachezaji wake Kuelekea mchezo wa fainali “Hakuna cha kupoteza zaidi ya kutwaa kombe”"

Back To Top