Millionaire  Ads

TANZIA



Mshereheshaji mkubwa na shabiki wa kutupwa wa timu ya yanga bwana Ally Yanga, amefariki duniani leo katika ajali huko mkoani Dodoma – Mpwapwa.

Habari tulizozipata kupitia page ya Yanga zinasema umauti umemfika akiwa katika harakati za mbio za mwenge wa Uhuru ambao upo Dodoma
Innah Lilah wainah illah rajiuun.


Poleni sana wana Yanga poleni watanzania
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "TANZIA"

Back To Top