Millionaire  Ads

UEFA yataja majina ya wachezaji watakaowania tuzo mbali mbali Tarehe 24 mweze 8 huko Monaco, Real Madrid yatawala



Real Madrid wametoa majina sita kati ya majina 12 ya wanaowania tuzo hizo za Uefa, wakati mahasimu wao wakubwa Barcelona wakitoa mchezaji mmoja tu kuwania tuzo hizo.
Nafasi zinazowaniwa ni kipa bora wa Uefa, beki bora, kiungo bora na mshambuliaji bora
wanaowania tuzo hizo ni kama ifuatavyo:
Makipa:
Gianluigi Buffon (Juventus)

 Manuel Neuer (Bayern Munich)

 Jan Oblak (Atletico Madrid).

Mabeki:
Leonardo Bonucci (Juventus sasa yupo AC Milan)

 Marcelo (Real Madrid)

Sergio Ramos (Real Madrid).

Viungo:
Casemiro (Real Madrid)

 Toni Kroos (Real Madrid) 

Luka Modric (Real Madrid).
Washambuliaji:

Paulo Dybala (Juventus)

 Lionel Messi (Barcelona)

Cristiano Ronaldo (Real Madrid).












Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "UEFA yataja majina ya wachezaji watakaowania tuzo mbali mbali Tarehe 24 mweze 8 huko Monaco, Real Madrid yatawala"

Back To Top