Ligi kuu
tanzania bara kuendela leo katika viwanja vinne, timu nane kumenyena kuwania
taji la ligi kuu Tanzania bara (VPL).
Michezo ya leo itazikutanisha timu ambazo zinataka kujinasua kutoka mkiani na timu
ambazo zinalifukuzia taji hilo
Ratiba ya leo jumamosi February 11 ni kama
ifuatavyo
Dar es
salaam
SIMBA VS
TANZANIA PRISONS katika Uwanja wa
Taifa
Mtwara
NDANDA FC VS
TOTO AFRICAN katika Uwanja wa Nangwanda
Tanga
RUVU
SHOOTING VS AZAM FC katika dimba la Mkwakwani
Shinyanga
STAND UNITED
VS MAJIMAJI katika Uwanja wa CCM Kambarage
NB:
Michezo yote kupigwa leo saa 10:00 jioni
Millionaire Ads
0 Comment untuk "ratiba ya ligi kuu Tanzania Bara leo jumamosi february 11, je simba kukalia kiti cha uongozi wa ligi"