Serengeti Boys
Millionaire Ads
CAIRO
Ni furaha ndermo na vifijo kwa watanzania wote na afrika mashariki yote baada ya shirikisho la soka Afrika(CAF) kupitia kamati yake tendaji kuipa ushindi timu ya taifa ya vijana serengeti Boys katika kesi ya kupinga umri wa kijeba wa timu ya U17 ya Congo Brazzaville Langa-Lesse Bercy.
Ni furaha ndermo na vifijo kwa watanzania wote na afrika mashariki yote baada ya shirikisho la soka Afrika(CAF) kupitia kamati yake tendaji kuipa ushindi timu ya taifa ya vijana serengeti Boys katika kesi ya kupinga umri wa kijeba wa timu ya U17 ya Congo Brazzaville Langa-Lesse Bercy.
Langa-Lesse Bercy
Akizungumza na TBC waziri wa michezo Mh Nape Nnauye alisema
Serengeti Boys wameshinda rufaa yao na hivyo watashiriki Mataifa ya Afrika
mapema mwaka huu huko Madagascar.
Ikumbukwe srengeti boys ilitolewa na Congo kwa faida ya goli la ugenini,
mchezo uliofanyika Dar es salaam boys waliitandika Congo 3-2 na mchezo wa
marudiano Congo waliibuka na ushindi wa 1- 0.
Timu ya Serengeti ipo kwenye mawindo makali kwa ajili ya maandalizi
ya michuano hiyo katika Uwanja wa karume zilipo ofisi za TFF
0 Comment untuk "Serengeti Boys yashinda rufaa, yafuzu mataifa Afrika U17"