Millionaire  Ads

Kesho ni Stars na Burundi, je Stars kuendelea kutupa raha


Taifa Stars ya Tanzania kesho Machi 28, 2017 saa 10:00 jioni inaingia tena Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, kucheza na Intamba Murugamba ya Burundi katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa, kwa mujibu wa kalenda ya wiki ya mechi za kimataifa ya FIFA.


Huu ni mchezo wa pili kwa Taifa Stars kucheza ndani ya wiki moja baada ya ule wa awali dhidi ya The Zebras ‘Pundamilia’ wa Botswana uliofanyika Uwanja huo wa Taifa, jijini Dar es Salaam Jumamosi iliyopita na taifa stars kuibuka na ushindi wa 2 – 0
Source TFF 
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comment untuk "Kesho ni Stars na Burundi, je Stars kuendelea kutupa raha"

Back To Top