Millionaire  Ads

Madini FC 0 - 1 Simba, Simba yakata tiketi ya Nusu fainali kombe la shirikisho Azam confederation Cup


Timu ya Simba kutoka jiji Dar es salaam imekata tiketi ya kuingia hatua ya nusu fainali baada ya leo kuichapa timu ya Madini FC ya mjini Arusha kwa goli 1 kwa 0.


Goli pekee la Simba limefungwa na mchezaji toka taifa la Burundi Mavugo dakika ya 55 ya mchezo huo.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Madini FC 0 - 1 Simba, Simba yakata tiketi ya Nusu fainali kombe la shirikisho Azam confederation Cup"

Back To Top