Millionaire  Ads

Wachezaji sita wa timu ya taifa Taifa stars wameripoti kambini baada ya michezo miwili ya kimataifa kalenda ya FIFA.




Wachezaji hao ni Ibrahimu Ajib, Shiza Kichuya, Jonas Mkude, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, Abdi Banda, Said Ndemla na Muzamiri Yassini.

Mchezaji tegemeo kwa Simba mrundi Laudit Mavugo pia ametua kwa ajili ya mchezo huo.
jana alfajiri wachezaji hao waliondoka jijini Dar es Salaam na kutua mjini Bukoba asubuhi na mapema wakitumia ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) na mara baada ya kutua waliungana na wenzao kambini bila hata kupumzika na kwenda moja kwa moja mazoezini kwenye Uwanja wa Taasisi ya Kanisa Katoliki mjini humo.


Simba inaongoza msimamo wa ligi wakiwa na pointi 55, huku mahasimu wao, Yanga wakishika nafasi ya pili kwa kuwa pointi 53, wakati Azam ni watatu wakiwa na pointi 44, kila mmoja akiwa amecheza mechi 24.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comment untuk " Wachezaji sita wa timu ya taifa Taifa stars wameripoti kambini baada ya michezo miwili ya kimataifa kalenda ya FIFA."

Back To Top