Millionaire  Ads

Marefa hawa kuamua mchezo wa Yanga ya Tanzania na MC Alger ya Algeria



Marefarii kutoka nchini Rwandwa na Guinea  ndio watakaoamua mechi zote mbili za kombe la shirikisho barani Africa.

Awali Yanga  walipanga kuchezea mchezo huo wa April 8 katika Uwanja wa CCM kirumba mwanza lakini umeshindikana kwa kutokizi viwango vinavyotakiwa na Caf.

Mchezo huo ambao utafanyika jijini Da re Salaam utachezeshwa na waamuzi toka nchini Rwandwa ajulikanae kwa jina la Louis Hakizimana akisaidiwa na Jean Bosco na Theogene Ndagijimana wote toka Rwandwa.

Mchezo wa marudiano utapigwa huko Algeria Tarehe 14 April na kuchezeshwa na marefa toka nchini Guinea, marefa hao ni Yakhouba Keita, Aboubacar Doumbouya na Mamady Tere.


Timu itakayopata Matokeo mazuri itaingia moja kwa moja hatua ya Makundi.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comment untuk "Marefa hawa kuamua mchezo wa Yanga ya Tanzania na MC Alger ya Algeria "

Back To Top