Millionaire  Ads

Simba yaitungua azam goli 1 kwa bila na kutinga fainali ya azam sports federation cup 2016/2017



Ikicheza kwa kujiamini na kufanya mashambulizi ya mara kwa mara simba imefanikiwa kuitungua Azam na kuwaka hai matumaini ya kushiriki michuano ya kimataifa msimu wa 2017/2018.

Goli pekee la kiungo mwenye nguvu Mohamedi Ibrahim ‘MO’ ndio lililoipeleka simba fainali na kumsubiri mshindi kati ya Mbao na Yanga mchezo utakaopigwa katika dimba la ccm kirumba mida ya saa kumi.

Endapo Yanga itaifunga Mbao basi timu ya simba na Yanga ndio zitakazoiwakilisha nchi katika mashindano ya kimataifa msimu ujao.


Mchezo wa jana kulitokea kadi mbili nyekundu moja kwa Azam ‘sureboy’ na kwa upande wa simba ‘MO’

Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comment untuk "Simba yaitungua azam goli 1 kwa bila na kutinga fainali ya azam sports federation cup 2016/2017"

Back To Top