Millionaire  Ads

El Clasico tatu ndani ya miezi miwili July na August 2017




Timu za Real Madrid na Barcelona za Hispania zitakutana mara tatu katika kipindi kisichozid siku  30.
Mchezo wa kwanza utafanyika mwezi wa saba Tarehe 29 huko Miami Marekani ukiwa ni mchezo wa kirafiki kabla ya msimu wa ligi kuanza maarufu kama International Champions Cup.
Michezo miwili ni ile ya ufunguzi wa pazia la laliga maarufu kama’ Supercopa de Espana legs’ inayozikutanisha msindi wa laliga ambae ni Real Madrid na mshindi wa kombe la mfalme maarufu kama Copa del Rey ambae bingwa ni Barcelona.
Mchezo wa kwanza utapigwa katika dimba la Camp Nou August 12 au 13 na marudiano ni tarehe 15 au 16 August.

Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme
0 Comment untuk " El Clasico tatu ndani ya miezi miwili July na August 2017"

Back To Top