Millionaire  Ads

EXCLUSIVE: AJALI, Kiungo Jonas Mkude apata ajali ya gari wakati akirudi jijini Dar es Salaam.


GARI iliyokuwa imewabeba baadhi ya wapenzi wa Simba SC pamoja na kiungo Jonas Mkude imepata ajali eneo la Dumila mkoani Morogoro muda huu , Nahodha wa Simba ameumia kiasi eneo la shingoni alipokuwa anatoka kwenye hiyo gari baada ya kupinduka.
Simba walikuwa wakirejea Dar kutoka Dodoma, majeruhi wamekimbizwa katika hospitali ya Mkoa wa Morogoro.
Poleni sana wanasimba


Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "EXCLUSIVE: AJALI, Kiungo Jonas Mkude apata ajali ya gari wakati akirudi jijini Dar es Salaam."

Back To Top