Millionaire  Ads

Kichuya, Msuva kuwania tuzo ya mchezaji bora VPL msimu huu 2016/2017



Shirikisho la mpira wa miguu nchini limetaja majina matano ya wachezaji watakaopigiwa kura ili kumpata mchezaji bora wa ligi kuu msimu huu.

Majina hayo ni: 
Shiza Kichuya wa Simba




 Mohamed Hussein ‘Zimbwe jr’ wa Simba



Simon Msuva wa Yanga 


Haruna Niyonzima wa Yanga

na Aishi Manula Azam FC.



Kura zitapigwa mpaka Tarehe 23 may saa sita usiku, watakaopiga kura ni makocha wakuu na makocha wasaidizi wa vilabu vya ligi kuu, na wengine watakaopiga kura ni waandishi wa habari wa habari za michezo ambao watatumiwa fomu maalumu kwa kupigia kura
Tuzo zitatolewa tarehe 25 may mwaka huu.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comment untuk "Kichuya, Msuva kuwania tuzo ya mchezaji bora VPL msimu huu 2016/2017"

Back To Top