Millionaire  Ads

Tetesi za usajili Ulaya, Madrid wanamtaka Antoine Griezmann, man u wamtageti Bale




Wilfried Zaha aanza mazungumzo ya kusaini mkataba mpya na timu yake ya Crystal Palace.

Mpaka sasa bado Manchester United hawajatuma ofa ya kumchukua golikipa namba 1 wa Leicester City, Kasper Scheimichel.
Jermain Defoe atamani kuhamia West Ham, hii ni baada ya timu yake ya Sunderland kushuka daraja, wakati huohuo Bournemouth nao wanamnyemelea kwa karibu star huyo mwenye goli 15.
Kinda wa Benfica mwenye umri wa miaka 16 Umaro Embalo anawaniwa na timu za Real Madrid na Manchester United, Madrid tayari wametoa ofa ya8m kwa mchezaji huyo.
Mamadou Sakho toka Liverpool atakiwa na Crystal Palace kwa mkopo wa muda mrefu, ikumbukwe kuwa Sakho amekuwa na msimu mbaya kutoka na kuumia.

Kieran Tierney, anatakiwa na Man U na Chelsea, beki huyo wa pembeni wa Celtic mwenyewe bado hajaweka wazi anataka atimkie wapi.
United kumsainisha Bale wakati Real Madrid kumsainisha Antoine Griezmann.
Tetesi Kutoka kwenye Magazeti ya Ulaya.
  Chelsea wako tayari kutoa £40m kwa Spurs kumnasa beki Kyle Walker (Mirror)

  Man City wamuachia Nolito kurudi  La Liga katika kilabu yake ya Real Betis (Sun)

  Man Utd wanajiandaa kumresha Michael Keane kutoka Burnley kwa dau la £25m
ikumbukwe United walimuuza mchezaji huyo mwaka juzi kwa £23m less (Mail)

  Arsene Wenger ametangaza kuendelea kuwepo Arsenal kwa msimu mmoja (Express)


Chanzo: http://www.skysports.com/transfer-centre




Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comment untuk "Tetesi za usajili Ulaya, Madrid wanamtaka Antoine Griezmann, man u wamtageti Bale"

Back To Top