Millionaire  Ads

Mali mabingwa AfrikaU17 mara mbili mfululizo yaifunga Ghana 1 – 0 mchezo wa fainali



Timu ya Taifa ya MaliU17 jana usiku imetetea kombe lake na kuingia kwenye historia ya Afrika.
Haikuwa kazi rahisi kwa Mali kunyakua taji hilo kwani Ghana ilijipanga vilivyo, shukurani za pekee zimwende mlinda mlango wa Ghana kwa kuinusuru timu yake na fedheha ya fainali baada ya kuokoa penati mbili.
Mali walipata bao hilo la pekee kupitia kwa Seme Camara na kunyakua ubingwa huo.

Mali ilikuwa kundi B Pamoja na Tanzania ambapo walifuzu nusu fainali baada ya kuwa vinara kwa kujikusanyia pointi 7, walitoka sare mchezo mmoja tu katika mashindano haya yote dhidi ya Tanzania pekee.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme
0 Comment untuk "Mali mabingwa AfrikaU17 mara mbili mfululizo yaifunga Ghana 1 – 0 mchezo wa fainali"

Back To Top