Millionaire  Ads

Jonas mkude aruhusiwa kutoka muhimbili ajiunga na kambi ya Stars





Hatimae mwenyezi Mungu amemjalia uzima na afya kiungo mwenye mapafu mithili ya mbwa Jonas Mkude na kuruhusiwa kutoka hospitali alipokua kalazwa na kujiunga na timu ya taifa tayari kwa maandalizi ya michuano ya kufuzu Afrika.

Jana jumapili akitokea Dodoma gari alilokuwa amepanda yeye na baadhi ya mashabiki wa Simba lilipinduka na kusababisha kifo cha mpenzi wa simba  Shose Fidelix (29) na kujeruhi wengine akiwemo nyota huyo wa simba.

Taarifa tulizozipata kutoka kwenye ukurasa wa simba ni kuwa marehemu Shose  msiba wake upo Mwembechai karibu na hoteli ya Itumbi.taarifa za mazishi tutakujuza.

Mwenyezi Mungu awatie nguvu wapenzi, wanachama wa simba na wadau wote wa soka katika msiba wa dada yetu Shose.


Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Jonas mkude aruhusiwa kutoka muhimbili ajiunga na kambi ya Stars"

Back To Top