Millionaire  Ads

Samatta kuivusha Genk kwa hatua ya mchujo wa Europa‘Europa League third qualifying round’ 2017/18 kesho?



Baada ya juzi kuiwezesha timu yake kupata ushindi wa goli 3 – 0 mbele ya Sint-Truiden katika hatua ya nusu fainali ya Belgium Pro league na kutinga fainali ambapo sasa itakutana na mshindi wa 4 wa ‘championship play-offs’ ambae ni Oostende ili kuweza kupata timu moja ambayo itafuzu kwa ligi ya Europa hatua ya mtoano.

Mchezo huo utapigwa katika dimba la Versluys Arena, Ostend siku ya kesho may 31,2017.

NB: Katika mchezo huo nusu fainali Genk walishinda goli 3 – 0 magoli ya Buffel  32',Boëtius 43' na Samatta 55'

Kilalakheri Samatta watanzania tunakuombea uendelee kuitangaza Tanzania na Afrika mashariki.


Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Samatta kuivusha Genk kwa hatua ya mchujo wa Europa‘Europa League third qualifying round’ 2017/18 kesho?"

Back To Top