Millionaire  Ads

Donald Dombo Ngoma asaini mkataba wa miaka miwili Yanga.

                  Ngoma akimwaga wino kuitumikia yanga
Zile tetesi za kujiunga na Simba zimefikia tamati leo mchana pale mchezaji tegemeo wa timu ya Yanga Donald Dombo Ngoma alipokata mzizi wa fitina kwa kusaini kandarasi ya miaka miwili na timu yake ya Yanga.

Ngoma aliwasili jana usiku na kulakiwa na baadhi ya viongozi wa Yanga.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Donald Dombo Ngoma asaini mkataba wa miaka miwili Yanga."

Back To Top