Millionaire  Ads

Malinzi na katibu wake ashikiliwa na Takukuru


Rais wa shirikisho la soka nchini Tanzania Jamali Malinzi na katibu mkuu wake wanashikiliwa na Taasisi ya kupambana na Rusha nchini kwa tuhuma za rushwa na hii inasadikiwa kuwa na michakato michafu Kuelekea uchaguzi mkuu wa TFF.
Alipoulizwa makamo wa Rais wa TFF ili kuthibisha hilo alisisitiza kuwa yeye anashughuli nyingi na hayuko tayari kuzungumzia suala hilo kwa kuwa wao huwa hawawasiliani kila muda na kumtaka mtangazaji wa chombo hicho aliyekuwa anamhoji kutafuta Chanzo kingine kupata habari hizo na si yeye.


Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Malinzi na katibu wake ashikiliwa na Takukuru"

Back To Top