Millionaire  Ads

Angola 0 - 0 Tanzania, Picha kibao mechi ya Jana,Tanzania yaongoza kundi A, kutinga Robo Fainali endapo itaifunga Mauritius







Tanzania jana imekwenda sare na timu ya Angola na kuendelea kuongoza kundi lake la A baada ya kujikusanyia pointi 4 na magoli 2 huku mpinzani wake mkubwa wa kundi hilo akiwa ni Angola ambayo ina pointi 4 na goli 1.

Endapo Tanzania itafanikiwa kutwaa usukani wa kundi A basi itatinga Robo fainali na kukutana na wenyeji Afrika Kusini ambao wao wamepangwa kuanzia hatua hiyo ya Robofainali.

Kiungo mchezeshaji wa Tanzania Mzamiru Yassin ndie aliekuwa mwiba mchungu kwa Angola kwani alikamata dimba vilivyo na kufanya atakalo huku akipiga pasi za uhakika kwa washambuliaji wa Tanzania ambao jana walikamatwa ipasavyo.


Tanzania iliwakilishwa na Manula, Kapombe, Gadiel, Banda, Mbonde, Nyoni,Mao,Maguri,Msuva,kichuya,Mzamiru

Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Angola 0 - 0 Tanzania, Picha kibao mechi ya Jana,Tanzania yaongoza kundi A, kutinga Robo Fainali endapo itaifunga Mauritius"

Back To Top