Millionaire  Ads

Mkude asaini miaka miwili ndani ya Simba, Singida United mmmmmh


Nahodha wa timu ya Simba Jonas Mkude amesaini mkataba wa miaka miwili na kuondoa sintofahamu juu ya uwepo wake katika timu hiyo ya Simba.

Ikumbukwe kuwa mkude alihusishwa sana kuhamia timu ya Yanga lakini kwa sasa mambo yameisha ametia wino Msimbazi.


Wakati huohuo timu ya Singida United inaonekana kujipanga vyema kwa ajili ya kuleta ushindani wa ligi kuu msimu ujao baada ya kuinasa saini ya mfungaji bora wa nchi ya Rwanda kwa misimu miwili mfululizo kutoka katika timu ya polisi ya Rwanda.

Danny Usengimana amesaini mkataba wa miaka miwili.

Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk " Mkude asaini miaka miwili ndani ya Simba, Singida United mmmmmh"

Back To Top