Millionaire  Ads

SAKATA LA MALINZI NA MWESIGWA SASA KUJULIKANA KISUTU LEO.



Wengi wameshikwa na butwaa tangu juzi Jumanne june 27 tangu kushikiliwa kwa Rais na katibu wa TFF kwa kutuhumiwa na TAKUKURU tuhuma ambazo mpaka leo hazijawekwa wazi.
Wengi wamehushisha tuhuma hizo na matumizi mabaya ya ofisi, wengine wakihusisha na uchaguzi ila ukweli wa tuhuma zao utajulikana leo pale watakapopandishwa mahakama ya kisutu na kusomewa tuhuma zao zinazowakabili

Afisa uhusiano wa TAKUKURU Musa Misalaba amethibisha kwamba, Malinzi na mwenzake watafikishwa mahakama ya Kisutu leo.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "SAKATA LA MALINZI NA MWESIGWA SASA KUJULIKANA KISUTU LEO."

Back To Top