Millionaire  Ads

EXCLUSIVE: FIFA wasitisha ujio wao nchini, wabariki kukamatwa kwa viongozi wa TFF


Shirikisho la soka Duniani limesitisha ujio wake nchini baada ya kupata taarifa ya kujitosheleza juu ya kukamatwa kwa viongozi wa shirikisho la soka nchini Tanzania TFF.
Kaimu Rais wa TFF amekiambia chombo kimoja cha habari asubuhi hii kuwa wamewaeleza FIFA kuwa viongozi hao wameshikiliwa na serikali kwa makosa ambayo yanavunja Katiba ya nchi na wala Serikali haijaingilia soka.
Pia TFF wameilithibishia Shirikisho hilo kuwa mambo yapo shwari na serikali inafanya mambo yao kwa mujibu wa sheria.
Leo kamati tendaji inakaa na inategemewa kuja na tamko kuhusu uchaguzi mkuu wa TFF.


Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "EXCLUSIVE: FIFA wasitisha ujio wao nchini, wabariki kukamatwa kwa viongozi wa TFF"

Back To Top