Millionaire  Ads

Kikosi cha Simba chaanza kufanya mazoezi kambini nchini Afrika Kusini.


Kikosi cha Simba chaanza kufanya mazoezi kambini nchini Afrika Kusini.
Kikosi cha Simba leo kimeanza kufanya mazoezi kwenye uwanja wa klabu ya Edenvale
Kikosi cha Simba kiliondoka jana Afjari Kuelekea Afrika ya Kusini kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa ligi na michezo mbalimbali ikiwemo Simba day Tarehe 8 august na ngao ya jamii dhidi ya Yanga august 23.

Simba imeweka kambi nchini Afrika kusini kwa muda wa wiki mbili.

Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Kikosi cha Simba chaanza kufanya mazoezi kambini nchini Afrika Kusini."

Back To Top