Millionaire  Ads

‘Mr try Again’ akaimu urais msimbazi, ndie mwenyekiti wa Friends of Simba


Kamati ya utendaji ya kilab ya simba imeamua kwa kauli moja kumkathimisha madaraka ya kukaimu urais wa kilab ya Simba ndugu Salim Abdallah almaarufu kama Mr Try Again  kwa kipindi chote ambacho Rais wa Simba bwana Aveva akiwa kwenye mikono ya sheria.

Salim ndie Mwenyekiti wa Friends of Simba kwa sasa amepokea kijiti hicho baada ya Dewj kukataa nafasi hiyo kwa kutoa sababu za majukumu mengi yakifamilia.

Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "‘Mr try Again’ akaimu urais msimbazi, ndie mwenyekiti wa Friends of Simba"

Back To Top