Millionaire  Ads

Mzimu wa malinzi waitesa TFF, Uchaguzi mkuu wa TFF wapigwa kalenda


Uchaguzi mkuu wa shirikisho la soka nchini TFF umepigwa kalenda na haujulikani utafanyika lini mpaka july 4 kamati itakapokutana kupanga upya mambo yao.

Mengi yamesemwa, ila mtifuano wa jana baina ya wajumbe wa kamati ya uchaguzi dhidi ya Rais wa sasa wa TFF bwana Jamal Malinz wengine wakisema utumike utaratibu wa kuhojiwa kwa maandishi ili kumpa nafasi Malinzi afanyiwe usaili huku wajumbe wengine wakipinga mpango huo.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Mzimu wa malinzi waitesa TFF, Uchaguzi mkuu wa TFF wapigwa kalenda"

Back To Top