Millionaire  Ads

Samatta atupia moja ndani ya jezi namba 10



Kapteni wa timu ya Taifa ya Tanzania Mbwana Samatta jana alifunga goli moja kati ya magoli 3 na kuiwezesha timu yake ya KRC Genk ya Ubeligiji kutoka sare ya goli 3- 3 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Ajax ya uholanzi katika Uwanja wa Amsterdam  magoli ya Ajax yalifungwa na Kluivert (3'), Ziyech (13'), Neres (56'), magoli ya Genk yalifungwa na Samatta (21'), Trossard (25'), Schrijvers (90' strafschop).
awali Samatta alikuwa akivaa jezi namba 77



Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Samatta atupia moja ndani ya jezi namba 10"

Back To Top