Millionaire  Ads

Simba kutema watatu wa kimataifa


Timu ya Simba inasemekana imeachana na wachezaji wao wawili wa kikosi cha kwanza ambao ni Jamvier Bokungu raia wa DR Congo Pamoja na Juuko Murshi raia wa Uganda na mshambuliaji aligeuka gumzo mwishoni mwa ligi kuu na kombe la Azam Sports Federation Fredrick Blagnon, mshambuliaji raia wa Ivory Coast.
Sababu za kuachwa wachezaji hao ni kushuka kwa viwango vyao na utovu wa nidhamu.

Ikumbukwe kuwa Juuko aliwasumbua sana Simba  
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Simba kutema watatu wa kimataifa"

Back To Top