Millionaire  Ads

Taifa stars kibaruani leo kuwakabili Rwanda ikiwa na matuaini kibao



Timu ya taifa ya Tanzania leo majira ya kumi kamili jioni itaikaribisha timu ya taifa ya Rwanda kwenye uwanja wa CCM kirumba jijini mwanza kuwania tiketi ya kucheza mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani (CHAN).
Stars ambayo inajivunia kuwa na kikosi bora ambacho kilitwaa nafasi ya tatu katika michuano ya COSAFA na kufanikiwa kupanda katika viwango vya soka duniani hadi nafasi ya 114 .

Kapteni wa timu ya taifa Himid Mao amesema wapo vizuri na wana ari kubwa katika mchezo huo hivyo tuwaombee dua tu.

Endapo Tanzania itafanikiwa kuitoa Rwanda basi itacheza na mshindi wa jumla wa mchezo kati ya Uganda au Somalia ya kusini.
Ratiba kamili kwa siku ya leo july 15 michuano ya CHAN:
Comoros vs Lesotho    15:00
Djibouti vs Ethiopia        15:00
Tanzania vs Rwanda 16:00

Botswana vs South Africa 16:30
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk " Taifa stars kibaruani leo kuwakabili Rwanda ikiwa na matuaini kibao"

Back To Top