Millionaire  Ads

Countinho Akaribia Kuwa Mrithi Wa Neymar







Countinho Akaribia Kuwa Mrithi Wa Neymar

Kwa mijibu wa gazeti la Daily Star la England mchezaji tegemeo wa live Philippe Countinho ndie mbadala wa Neymar ndani ya Barcelona.

Barcelona wametenga kiasi cha pauni million 120 kwa ajili ya kufanikisha dili hilo.
Japokuwa Klopp amesisitiza kuwa mchezaji huyo hauzwi, kuna uvumi mkubwa kuwa Liverpool nao wanamuangalia mchezaji wa West Ham  Manuel Lanzini kama mbadala wa Countinho endapo ataondoka.


Wakati huohuo Barcelona pia wanamuwania mchezaji ambae anavitoa udenda vilabu vya London toka Borussia Dortmund
Ousmane Dembele mwenye umri wa miaka 20 kwa ada kubwa ya pauni milioni 70. Vilabu vinavyomwania ni Arsenal, Chelsea Pamoja na Tottenham Hotspurs.  Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk " Countinho Akaribia Kuwa Mrithi Wa Neymar"

Back To Top