Millionaire  Ads

DEAL DONE GADIEL MICHAEL MCHEZAJI HALALI WA YANGA



Baada ya sintofahamu baina ya mchezaji Gadiel Michael kuutuhumu uongozi kuwa una mbadia na uongozi kusema kuwa taratibu zifuatatwe hatimae leo maridhiano yamepita na mchezaji huyo ataitumikia timu ya Yanga.
Yanga jana kwenye kikao na waandishi wa habari waliituhumu Azam kuwa inawabania pale wanapotaka mchezaji toka kwao na wakati huohuo mchezaji wa azam anapotakiwa na Simba basi mambo huwa yanakwenda vizuri.

Waliendelea kulalamika kuwa dau walilotozwa na Azam ni kubwa hivyo watasubiri mpaka Gadiel atakapomaliza mkataba ambao ulibakisha miezi 5.
Lakini leo kwa busara ya viongozi ya viongozi wa Azam wamesikia kilio hicho ya Yanga na kupunguza  nusu ya fedha ambayo walikuwa wanaitaka.

Yanga wamekubali kuilipa na kuanzia sasa Gadiel ni mali ya yanga.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "DEAL DONE GADIEL MICHAEL MCHEZAJI HALALI WA YANGA"

Back To Top