Millionaire  Ads

Ratiba ya michezo ya Yanga kabla ya kukutana na Simba august 23


Mabingwa wa Tanzania siku ya jumamosi na jumapili wataendelea na kutest mitambo yao kabla ya Tarehe 23 kukutana na watani zao wa jadi ambao pia ndio mabingwa wa kombe la Azam Sports federation.

Yanga watacheza mchezo wa kwanza siku ya jumamosi kwa kuwakabili Ruvu Shooting ya mkoani Pwani katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Na siku ya jumapili watacheza mchezo mwingine katika ardhi ya Zanzibar ndani ya dimba la Aman dhidi ya wenyeji wao timu ya Mlandege.
Baada ya kucheza na Mlandege Yanga watasafiri hadi kisiwa cha Pemba kwa kambi ya maandalizi ya mchezo wa ngao ya jamii dhidi ya Simba katika Uwanja wa Taifa Tarehe 23 August, hayo yaote yametolewa na katibu mkuu wa Yanga bwana Mkwasa



Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk " Ratiba ya michezo ya Yanga kabla ya kukutana na Simba august 23"

Back To Top