Millionaire  Ads

Hayatou Ang’aka Baada Ya Ahmad Kutaka Kuipokonya Camerron Uenyeji Afcon 2019


Aliyekuwa rais wa zamani wa Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) ambae pia ni raia wa Cameroon Issa Hayatou ameibuka na kumshauri rais wa CAF bwana Ahmad kuangalia tena uamuzi wake wakutaka kuinyang’anya Cameroon kuandaa michuano y mataifa ya Afrika mwaka 2009.
Hayatou amemsihi bosi huyo mpya wa CAF kutembelea Cameroon na kujionea miundo mbinu ya viwanja inavyoendelea
“tumejenga viwanja vitano na kingine kipo katika hatua nzuri yote hii ni kuhakikisha tunaandaa michuano hiyo ya mwakani, pia kuna miaka miwili mbele mpaka 2019 hivyo asituhukumu sasa”alisema Hayatou.

Hii imekuja baada ya Ahmad kutaka kutangaza upya tenda kwa nchi ambayo itaweza kuandaa mashindano ya hayo ya Afcon kwa kigezo kuwa Cameroon wanasua sua kwenye maandalizi.


Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Hayatou Ang’aka Baada Ya Ahmad Kutaka Kuipokonya Camerron Uenyeji Afcon 2019"

Back To Top