Millionaire  Ads

Simba mabingwa wa ngao ya hisani


Ulikuwa ni mchezo mzuri sana na mashabiki wengi walioshuhudia mchezo huo wameinjoi na mnyama ametawadhwa kuwa mshindi wa ngao ya hisani baada ya kushinda kwa penati goli 5 – 4.
Dakika 90 za mchezo huo zilihitimishwa kwa sare ya 0 – 0
Walikosa penati kwa Yanga ni Kelvin Yondan na Juma Mahadhi

Aliekosa kwa upande wa Yanga ni Mohamed Hussein ‘Zimbwe Jr’

Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Simba mabingwa wa ngao ya hisani"

Back To Top