Millionaire  Ads

Taifa Stars ya kuivaa Botswana hazarani, wakongwe Erasto Nyoni na Kelvin Yondani wajumuishwa kwenye kikosi


Kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania Salum Mayanga leo ametangaza kikosi cha timu ya taifa kwa ajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Botswana.
Mchezo huo ambao upo kwenye kalenda ya FIFA utapigwa September 2 kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Kwenye kikosi hicho mkongwe Kelvin Yondani pia ameitwa kwenye kikosi hicho, pia wachezaji wanaocheza nje ya nchi wamejuimuishwa kwenye kikosi hicho.
Kikosi kipo hivi:
Magolikipa: Aishi Manula, Mwadini Ally na Ramadhani Kabwili.

Mabeki: Boniphace Maganga, Abdi Banda, Gadiel Michael, Kelvin Yondani, Salim Mbonde na Erasto Nyoni,

Viungo: Himid Mao, Hamisi Abdallah, Mzamiru Yassin, Said Ndemla, Simon Msuva, Shiza Kichuya, Farid Mussa na Morel Ergenes,


Washambuliaji: Raphael Daud, Kelvin SabatoMbwana Samatta na Elias Maguli.

Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Taifa Stars ya kuivaa Botswana hazarani, wakongwe Erasto Nyoni na Kelvin Yondani wajumuishwa kwenye kikosi"

Back To Top