Millionaire  Ads

Mbao FC sasa wanamiliki gari lao rasmi kuanzia leo october 18,2018

Timu ya mbao fc ya jijini Mwanza leo imekabidhiwa gari lake na mdhamini wake mkuu Kampuni ya GF Trucks & Equipment kwa ajili safari zake mbalimbali.
Kampuni ya GF Trucks & Equipment iliingia mkataba na timu ya mbao mapema August 25 mwaka na Miongoni mwa Ahadi zake ilikuwa na kuipatia timu ya Mbao basi kwa ajili ya shughuli mbalimbali ndani ya timu hiyo.

Makabidhiano hayo yamefanyika leo mbele naibu waziri wa nyumba na maendeleo ya makazi mheshimiwa Angella Mabula

Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Mbao FC sasa wanamiliki gari lao rasmi kuanzia leo october 18,2018"

Back To Top