Millionaire  Ads

MAYANJA AACHIA NGAZI SIMBA, KISA MATATIZO YA KIFAMILIA


Kocha msaidizi wa timu ya simba mganda Jackson Mayanja ameachana na kazi ya kuinoa simba.
Kwa mujibu wa Chanzo cha habari hii kimeeleza kuwa Mayanja ameomba akae pembeni Kutokana na matatizo yake ya kifamilia.

Chanzo hicho kilimkariri mayanja akisema “Ni matatizo ya kifamilia lakini suala hilo siwezi kulizungumzia kwa sasa
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "MAYANJA AACHIA NGAZI SIMBA, KISA MATATIZO YA KIFAMILIA"

Back To Top