Millionaire  Ads

REAL MADRID YABANWA ESTADIO SANTIAGO BERNABEU NA TOTTENHAM HOTSPUR.


Cristiano Ronaldo jana aliinusuru real Madrid na janga la kufungwa katika ligi ya mabingwa barani Ulaya baada ya kufunga goli kwa njia ya mkwaju wa penati ikiwa ni dakika ya 43.
Tottenham Hotspur ndio walikuwa wa kwanza kupata goli kufuatia beki wa Madrid Raphael Varane kujifunga katika harakati za kutaka kuokoa hekaheka langoni mwao kwenye dakika ya 28.

Mpaka mwisho wa mchezo Madrid 1 – 1 Tottenham. 
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "REAL MADRID YABANWA ESTADIO SANTIAGO BERNABEU NA TOTTENHAM HOTSPUR."

Back To Top