Simba
walianza kwa kulisakama lango la Njombe ni uimara wa mlinda mlango wa Njombe
ndio ulisaidia simba kuchelewa kupata goli mapema
Mnamo
Dk 28, Okwi anaruka juu na kuunganisha vizuri kwa kichwa krosi ya Nyoni na
kuiandikia Simba goli la kwanza.
Goli hilo
lilidumu mpaka mapumziko.
Kipindi
cha pili Simba walikuja kwa ari na dakika Dk 51 pale Muzamiru alipounganisha
krosi nzuri toka Emmanuel Okwi na kuandika bao safi na dakika mbili bado
Mzamiru tena akafunga goli la pili kwake na la tatu kwa Simba huku majaro
ikitoka tena kwa Okwi.
Dk 60
krosi safi ya Kichuya , Mavugo anaunganisha kwa kichwa na kuwa bao la nne
Mpaka
mwisho Simba 4 – 0 Njombe Mji
Kwa ushindi
huo Simba inaendelea kubaki kileleni kwa idadi kubwa ya mabao iliyovuna msimu
huu.
Matokeo
mengine:
Lipuli
1 – 0 majimaji
Ndanda
0 – 0 Singida United
Mbao
FC 0 – 0 Azam FC
Mtibwa
1 – 0 Prisons
Mbeya
City 2 – 0 Ruvu Shooting
Millionaire Ads
0 Comment untuk "Simba hii hatari sana, Yailaza Njombe 4, Okwi kama kawa, Mtibwa nayo ni Shida, Azam yabanwa mbavu"