Millionaire  Ads

Zidane kocha bora wa Msimu wa 2016/17


Kocha wa timu ya Real Madrid Zinedine Zidane ametwaa tuzo ya kocha bora wa msimu akiwazidi kocha wa Chelsea Pamoja na kocha wa Juventus.
Zidane aliiwezesha Real Madrid kubeba vikombe vitatu msimu uliopita na hivyo kuwa kocha mwenye mafanikio zaidi kwa msimu wa 2016/17.
Zidane ameiwezesha Real Madrid kuchukua kombe la ligi kuu nchini Hispania (Laliga),ligi ya mabingwa Ulaya,Uefa Super Cup.
Kwa mafanikio hayo yalimwezesha kuweza kutwaa taji hiyo mbele ya Conte wa Chelsea ambae yeye aliiwezesha Chelsea kutwaa ligi kuu ya England pekee.

Zidane ambae nyota yake tangu akiwa mchezaji imeendelea kung’ara 
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Zidane kocha bora wa Msimu wa 2016/17"

Back To Top