Millionaire  Ads

It’s Cristiano Ronaldo Again the Best FIFA Men’s Player Awards 2017


Mchezaji bora Dunia
raia wa Ureno anaekipiga katika kilabu ya Real Madrid jana aliichukua tuzo ya mchezaji bora wa kiume wa mwaka wa FiFA mbele ya hasimu wake mkubwa kisoka Lionel Messi.
Dalili za Ronaldo kuchukua tuzo hiyo zilionekana wazi Kutokana na mafanikio aliyoyapata kwa msimu ulioisha wa Laliga,Uefa Champion’s League na Uefa Super Cup.
Ronaldo ndie mfungaji bora wa ligi ya mabingwa Ulaya kwa msimu ulioisha akimzidi Messi kwa goli 1.
Ronaldo ametwaa Laliga msimu ulioisha, pia ametwaa ligi ya mabingwa na pia akiwa Real Madrid ametwaa Uefa Super Cup.
Hii ni mara ya pili mfululizo kwa Ronaldo kunyakua tuzo hiyo tangu imeanzishwa mwaka jana .
Pia ameisaidia timu yake ya Ureno kufanya vizuri kwenye michuano ya kombe la mabara na kufuzu kwa kombe la Dunia.

Kwa mafanikio hayo Ronaldo alistahili kutwaa tuzo hiyo.

Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "It’s Cristiano Ronaldo Again the Best FIFA Men’s Player Awards 2017"

Back To Top