Millionaire  Ads

LIVEPOOL TULIENI SAFARI BADO NI NDEFU MANENO YA KLOPP


Sadio Mane akifunga mara mbili , Emre Can, Philippe Coutinho, Roberto Firmino na Wijnaldum wote wakifunga mara moja na kuifanya Liverpool kuibwaga Watford 6 – 1 katika dimba la Anfield.
“kama kuna mtu anazani kuwa mbele kwa pointi moja baada ya mechi 11 tunatwaa kombe msimu huu, siwezi kumuelewa mtu huyo ” hayo ni maneno ya Klopp
“kitu cha msingi ni kuhakikisha tunafikiria mechi zilizobaki, ni mengi yatatokea wiki chache zijazo au miezi ijayo tunatakiwa kuangalia kwa makini”

Wadau na mashabiki wa Liverpool wanaamini kuwa watavunja mwiko wa miaka zaidi ya 26 ya ligi kuu kwa kubeba kombe hilo tangu walipolitwaa mwaka 1990.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "LIVEPOOL TULIENI SAFARI BADO NI NDEFU MANENO YA KLOPP"

Back To Top