Millionaire  Ads

Hassan Kabunda mchezaji bora VPL mwezi Feb 2017


Mchezaji wa timu ya Mwadui FC Hassan Kabunda ametwaa tuzo hiyo baada ya kuwabwaga wachezaji wawili wote kutoka simba Laudit Mavugo na Ibrahim Ajib.
Tuzo hiyo ambayo hutolewa kila mwezi na wazamini wa ligi hiyo kampuni ya Vodacom hutolewa kwa mchezaji atakefanya vyema kwa mwezi husika.
Kabunda katika mwezi wa pili amefunga magoli manne kati ya mabao sita ambayo timu ya Mwadui ilishinda.
Kwa mwezi wa pili kabunda ameisaidia timu yake kuvuna pointi 6 katika michezo matatu.

Pia upande wa nidhamu Kabunda hajapata adhabu yoyote katika michezo hiyo matatu.

Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Hassan Kabunda mchezaji bora VPL mwezi Feb 2017"

Back To Top