Millionaire  Ads

Yanga wasafiri kwenda Zambia bila Ngoma, Tambwe



Kikosi cha Mabingwa ligi kuu Tanzania bara Yanga leo alhamisi march 16 kitaelekea nchini Zambia kwa ndege ya shirika la Kenya Airways .
Katika msasafara huo Yanga itaondoka bila wachezaji wake wakutumainiwa ambao ni majeruhi, wachezaji ambao hawataambata na timu Kuelekea Zambia ni Pamoja na Donald Dombo Ngoma, Amiss Jocelyn Tambwe,Malimi Busungu na
Matheo Simon Anthony
Msafara wa Yanga utakuwa na jumla ya wachezaji 20 pamoja na viongozi na benchi la ufundi
Timu ya Yanga itawakabili Zanaco katika mchezo wa marudiano wa ligi ya mabingwa barani Afrika, ikumbukwe katika mchezo uliopita yanga walikubali kutoka sare ya 1 – 1 hivyo kuufanya mchezo wa marudiano kuwa mgumu sana kwa upande wa yanga.

Mchezo wa marudiano utapigwa jumamosi march 18 huko Zambia.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Yanga wasafiri kwenda Zambia bila Ngoma, Tambwe"

Back To Top