Millionaire  Ads

Hans Poppe akubali yaishe akubali kurudi Simba, asisitiza mapambano yanaendelea.


Katika kuonyesha kuwa Simba imedhamiria kuwa kitu kimoja, jana jumapili may 14 2017 walifanya vikao mpaka usiku wa manane kwa lengo la kuhakikisha Hans Poppe anabadilisha maamuzi yake ya kujiondoa ndani ya timu hiyo.


Hans Poppe alichukua uamuzi huo Kutokana na kile kinachodaiwa usiri katika mkataba kati ya kilabu hiyo na mdhamini wao mpya Sport Pesa, tangu Sport Pesa waingie udhamini na simba kumetokea sintofahamu ndani ya kilabu hiyo mpaka kupelekea Dewj ‘Mo’ kuamua kujitoa kuisadia timu hiyo na kudai kiasi cha fedha ndani ya kilabu hiyo kongwe ya mitaa ya msimbazi.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comment untuk " Hans Poppe akubali yaishe akubali kurudi Simba, asisitiza mapambano yanaendelea."

Back To Top