Millionaire  Ads

Simba Bingwa Azam Sports Federation, Rasmi sasa wamekuwa wa kimataifa, waifunga mbao 2 - 1


Timu ya simba leo imemaliza ukame wa kukaa nje kwenye mashindano ya kimataifa baada ya kupata tiketi ya kucheza kombe la shirikisho tangu mwaka 2013 ilivyofanya hivyo.
pongezi ziende kwa  Blagnon Fredrick na Shiza Kichuya  kwa kuipatia simba ushindi huo wa goli 2 - 1.

Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Simba Bingwa Azam Sports Federation, Rasmi sasa wamekuwa wa kimataifa, waifunga mbao 2 - 1"

Back To Top